Maelezo kuhusu safari ya maisha
Kwa jina naitwa Aisha Shabani, natokea Mafinga mkoani Iringa.
Mimi ni mtoto wa pili katika familia yetu iliyokuwa na watoto watano.
Tangu nimezaliwa mwaka 2000 mpaka leo hii sijawahi kumuona baba yangu mzazi.
.jpeg)
Kwa jina naitwa Aisha Shabani, natokea Mafinga mkoani Iringa.
Mimi ni mtoto wa pili katika familia yetu iliyokuwa na watoto watano.
Tangu nimezaliwa mwaka 2000 mpaka leo hii sijawahi kumuona baba yangu mzazi.